kn

kn

Tuesday, October 20, 2015


Sherehe za ubingwa bado ziliendelea ...

Viongozi wa Kitambi Noma wakiwa na Viongozi wa KPA Mombasa 


Picha ya Pamoja na Timu ya Veteran ya KPA - Mombasa 




Kiungo wa kati wa Timu ya Kitambi Noma akisherehekea Ubingwa 

 Team Coach wa Kitambi Noma Akim aka Carrick akifurahia ushindi huo

Kiungo Mshambuliaji wa Kitambi Noma akisherehekea Ubingwa 

Kitambi Noma yatwaa Ubingwa wa Mashujaa ndani ya Jiji la Mombasa nchini Kenya



Mwenyekiti wa Kitambi Noma na Striker hatari wa Kitambi Noma Phares Rowland akishangilia ubingwa 



Kikosi Cha Kitambi Noma Kilichotwaa Ubingwa